Washindi wa leo katika mashindano ya kumtafuta King & Queen of melody in AJTC 2016 yaliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha
Malkia wa melody katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha katika mwaka 2016 katika ubora wake jukwaani
Malkia wa melody AJTC 2016
Mfalme wa melody katika chuo cha uandishi wa habari Arusha 2016 Denis maarufu kwa jina la Mnyalu akihamaki kutangazwa kuwa ni mshindi
Meza kuu ya majaji katika mashindano hayo
Picha ya pamoja ya Washindi,Majaji na Waandaaji wa mashindano hayo
No comments:
Post a Comment